Taarifa na Rasi Mangale
Wabunge wa bunge la kitaifa walioshuhudia kosomwa kwa bajeti bungeni wameikosoa.
Wakiozwa na Mbunge wa Shinyalu Justus Kizito wa bunge hao wameikosoa bajeti hio wakisema haijaangazia ipasavyo wakulima wa humu nchini.
Kizito aidha amepongeza hatua ya kuongezewa ushuru wa michezo ya Kamari kwa asilimia 10.
Kwa upande wao wahudumu wa bodaboda mjini kwale wametoa hisia mseto kuhusu suala la leseni za udereva lilioangaziwa katika bajeti hio ambapo muda wa leseni umeongezwa kutoka miaka 3 hadi mitano na ada za leseni hizo kuongezwa.