
CMB Prezzo ajiita mfalme
Baada yakufahamika kama Rais wa mziki wa kizazi kipya kwa muda mrefu sasa Msanii Jackson Makini amejiita mfalme.
Baada yakufahamika kama Rais wa mziki wa kizazi kipya kwa muda mrefu sasa Msanii Jackson Makini amejiita mfalme.
Mbunge wa Matuga Kassim Sawa Tandaza amewahimiza Viongozi wa Pwani kujitenga na siasa za migawanyika ya vyama na badala yake kuangazia masuala yanayowahusu wananchi moja kwa moja.
Jumla ya abiria 41 wamenusurika kifo jioni ya leo baada ya basi walimokuwa wakisafiria kushika moto.